Muonekano wa Giza:

Msaada

picha hii imeonesha wapendanao wawili mwanamke mjamzito na mwanaume wakiwa kitandani wakiwa wenye furaha

Mjamzito usifanye mapenzi au tendo la ndoa kama ukiona mambo haya

Kufanya mapenzi wakati wa ujauzito ni salama kwa mjamzito kwasababu hakuna tafiti yoyote ya kisayansi iliyothibitisha madhara kwa wajawazito.

Sio wakati wote mjamzito anapaswa kufanya mapenzi ila kuna baadhi ya sababu zinazomzuia mjamzito kushiriki tendo la ndoa kabisa kwa usalama wa mimba.

Pia kuna faida ambazo mjamzito anaweza kuzipata akishiriki tendo la ndoa.

Faida za kufanya mapenzi au kufanya tendo la ndoa ukiwa mjamzito

Katika makala hii tuzifahamu sababu ambazo mjamzito akiziona au zikigundulika kwa mjamzito hashauriwi kabisa kushiriki tendo la ndoa.

Sababu hizi mjamzito anaweza kuziona mwenyewe au baada ya vipimo vya hospitali.

Sababu hizo ni kama ifuatavyo:

0
0
1