Muonekano wa Giza:

Msaada

Pichani kuna mwanamke mjamzito akiwa amezungusha mikono yake yote miwili tumboni kwake, pia tumbo lake lina mstari mweusi uliokolea katikati ya tumbo lake.

Mstari mweusi kwenye tumbo la mjamzito

Kuna mabadiliko mengi yanaweza kutokea kwa mama mjamzito katika kipindi cha ujauzito. Moja kati ya mabadiliko hayo ni kujitokeza kwa mstari mweusi kwenye tumbo la mjamzito. Je unafahamu nini sababu ya kujitokeza kwa mstari huo kwenye tumbo la mjamzito?... Soma Zaidi

Picha imeonesha kielelezo cha mtoto akiwa anatoka kwenye njia ya uzazi akiwa ametangulia kutoka makalio wakati wa kujifungua.

Mtoto aliyetanguliza makalio wakati wa kujifungua

Kwa kawaida mtoto hutanguliza kichwa wakati wa kujifungua. Kuna sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha mtoto kutokutanguliza kichwa wakati wa kujifungua. Katika video hii tufahamu sababu amba... Soma Zaidi

Pichani anaonekana mwanamke akiwa mikono yake yote miwili ameshikilia chini ya tumbo lake huku taiti yake ikionekana imeloana kati kati ya mapaja.

Hali ya Uke kuvuta wakati wa kukojoa ukiwa Mjamzito

Kuhisi uke unavuta ukiwa unakojoa ni moja ya hali ambayo huwakuja wajawazito. Kuna sababu mbalimbali za kawaida na ambazo si za kawaida zinazoweza kusabisha hali hii kwa mama mjamzito.... Soma Zaidi

Kwenye picha imeonesha mtoto mchanga akiwa amelala na amefunuliwa sehemu ya kitovu chake, na kuna mkono ulioshikilia pamba ukijaribu kusafisha kitovu cha mtoto.

Jinsi ya kutunza kitovu cha mtoto mchanga mpaka kikatike

Kitovu cha mtoto mchanga, sehemu ya kondo inayobakia kwa mtoto mchanga baada ya kukatwa mara baada ya kuzaliwa. Sehemu hiyo ya kitovu inatakiwa ichukuliwe uangalizi na mzazi mpaka pale kitakapo katika chenyewe. Fahamu kuhusu namna ya kukitunza kitovu cha mtoto mpaka kitakapokatika chenyewe.... Soma Zaidi

Picha hii imeonesha mama akiwa anambusu mtoto wake mchanga wenye umri wa miezi miwili.

Ukuaji na maendeleo ya mtoto mchanga wa miezi miwili (2)

Baada ya kujifungu ni muhimu kufuatilia na kujua ukuaji na maendeleo ya kawaida na ambayo si ya kawaida kwa mtoto. Fahamu kuhusu ukuaji na maendeleo kwa watoto mchanga wa miezi miwili. Kila mtoto huwa na ukuaji wake tofauti kuna wengine wanawahi na kuna wengine wanachelewa.... Soma Zaidi

Picha inaonesha kielelezo cha mtoto aliyeko tumboni huku kitovu chake kikiwa kimemzunguka shingoni.

Kitovu kinachomfunga mtoto akiwa tumboni

Kitovu kujifunga shingoni kwa mtoto ni moja kati ya hali ya kawaida kutokea wakati wa kujifungua. Kwa mujibu wa takwimu kati ya watoto 4 wanaozaliwa mtoto mmoja anaweza kuzaliwa kitovu kimejifunga sh... Soma Zaidi

Picha inamuonesha mama mjamzito picha ya kielelezo cha jinsi ambavyo mtoto anakaa tumboni kwa mama mama mwenye mimba ya miezi kumi.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi kumi

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi kumi.... Soma Zaidi

Kwenye picha kumeonesha mtoto mwenye tatizo la kichwa kikubwa akiwa amelala kitandani.

Tatizo la kichwa kikubwa kwa watoto (Sababu, Dalili na Tiba)

Tatizo la kichwa kikubwa kwa watoto ni moja ya matatizo yanayowapata watoto katika umri mdogo. Tatizo hili hutokea kutokana na hitilafu za kutoa maji kwenye ubongo kushindwa kufanya kazi vizuri. Lifahamu tatizo hili la kichwa kikubwa kwa watoto, nini sababu zake, dalili zake na linatibikaje.... Soma Zaidi

picha inaonesha mwanamke akiwa amekunja sura kuonesha kama anapata maumivu na mwanaume pembeni akiwa katika mshangao.

Dalili za hatari kwa mjamzito

Ni muhimu kwa wajawazito na wenza wao kuzifahamu dalili ambazo zinahashiria hali ya hatari kwa ujauzito ili kuwahi haraka kwenye kituo cha afya kwaajili ya matibabu ya haraka. Uonapo dalili hizi kwa ... Soma Zaidi

Picha inaonesha hatua mbalimbali za ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya mwezi mmoja.

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya mwezi mmoja.... Soma Zaidi

Picha hii imeonesha baba akiwa amembeba mikononi mtoto wake mchanga mwenye umri wa mwezi mmoja.

Ukuaji na maendeleo ya mtoto mchanga wa mwezi mmoja (1)

Baada ya kujifungu ni muhimu kufuatilia na kujua ukuaji na maendeleo ya kawaida na ambayo si ya kawaida kwa mtoto. Fahamu kuhusu ukuaji na maendeleo kwa watoto mchanga wa mwezi mmoja. Kila mtoto huwa na ukuaji wake tofauti kuna wengine wanawahi na kuna wengine wanachelewa.... Soma Zaidi

Picha inamuonesha mtoto ambaye yuko tumboni akiwa na kitovu chake kirefu kilichounganika na kondo, akiwa anapeleka vidole vyake mdomoni.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi minne.

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi minne.... Soma Zaidi

Picha inamuonesha mtoto ambaye yupo tumboni kwa mama yake ajazaliwa bado.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi nane

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi nane.... Soma Zaidi

Picha inaonesha hatua mbalimbali za ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi mitatu.

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi mitatu.... Soma Zaidi

Picha inamuonesha mama akiwa amembeba mtoto na akiwa kwenye tabasamu kuonesha kumfurahia.

Ukuaji na maendeleo ya mtoto mchanga wa miezi mitatu (3)

Baada ya kujifungu ni muhimu kufuatilia na kujua ukuaji na maendeleo ya kawaida na ambayo si ya kawaida kwa mtoto. Fahamu kuhusu ukuaji na maendeleo kwa watoto mchanga wa miezi mitatu. Kila mtoto huwa na ukuaji wake tofauti kuna wengine wanawahi na kuna wengine wanachelewa.... Soma Zaidi

Picha inamuonesha mtoto ambaye yupo ndani ya mfuko wa kizazi kwenye tumbo la mama yake.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi saba

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi saba.... Soma Zaidi

Picha inayoonesha mwanamke amelala kitandani akiwa kwenye dimbwi la mawazo baada ya ujauzito wake kutoka.

Nini cha kufanya baada ya kutoa au mimba kuharibika

Ni muhimu sana kuzingatia mambo haya kama imetokea bahati mbaya ujauzito wako umetoka/umeharibika. Mambo haya ni kwaajili ya kuhakikisha afya yako inaimarika haraka na kuhakikisha usalama wa kizazi na kujiandaa kwaajili ya kubeba ujauzito mwingine. Zingatia mambo haya baada ya mimba kutoka.... Soma Zaidi

Picha inaonesha hatua mbalimbali za ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi miwili.

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi miwili.... Soma Zaidi

Picha inamuonesha mtoto ambaye yupo ndani ya mfuko wa kizazi kwenye tumbo la mama yake.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi sita

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi sita.... Soma Zaidi

Picha inamuonesha mtoto ambaye yuko kwenye mfuko wa kizazi (Uterus) akiwa kwenye ulalo wa miguu juu na kichwa chini.

Ukuaji wa mtoto tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi mitano.

Mimba ni mchakato wa asili wa muda mrefu kwa binadamu, inachukua takribani siku 280 au wiki 40 ambayo pia inakadiriwa miezi 9 mpaka mtoto kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kuyaishi mazingira ya nje ya tumbo la mama. Fahamu nini kinachoendelea tumboni kwa mama mjamzito mwenye mimba ya miezi mitano.... Soma Zaidi